Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi
Abstract & Details
Research Area
Lugha na Fasihi Idahara Ya kiswahili
Keywords
Maneno Muhimu: changamoto
mhusika
jinsia
nadharia
uhalisia na fasihi
Abstract
Makala hii imebainisha changamoto zinazomkabili mhusika wa kiume katika riwaya ya Clara Momanyi; Nguu za Jadi (2021). Katika enzi zetu mwanamke amewekwa mbele kinyume na ilivyokuwa wakati dunia ilikuwa imetawaliwa na ubabedume. Inaonekana kana kwamba mambo yamebadilika. Mabadiliko haya yamemwathiri mwanamume katika jamii. Tafiti nyingi za hapo awali zinaonekana kuegemea zaidi kwenye aina za dhuluma zinazowakumba wanawake katika jamii za Kiafrika. Jambo hili linaathiri jamii kwa kuipa mtazamo kuwa, jinsia ya kiume haikabiliwi na matatizo yoyote. Makala hii iliogozwa na nadharia ya uhalisia. Nadharia ya uhalisia inadai kwamba, fasihi inatakiwa kutoa picha halisi ya jamii husika. Nadharia hii ilizuka huko Ulaya katika karne ya kumi na tisa. Makala hii itatoa mwanga mkubwa kuhusiana na masuala ya jinsia ya kiume. Aidha, utafiti huu utakuwa kichocheo cha watafiti wa baadaye wa fasihi kuchunguza masuala yanayohusu jinsia ya kiume. Halikadhalika, kutokana na makala hii, jamii itaweza kubaini changamoto mbalimbali zinazoikabili jinsia ya kiume na athari ya changamoto hizo na hivyo itabuni mikakati ya kukabiliana nazo.
License
This work is licensed under a Creative
Commons
Attribution-ShareAlike 4.0 International License.
Author Information
| # | Name | Institute / Affiliation |
|---|---|---|
| 1 | Agnes Mwongeli Kiema | Machakos University |
| 2 | John Mutua | Machakos University |
| 3 | Sarah Ndanu Ngesu | South Eastern Kenya University. |
How to Cite
Use the following formats to cite this article in your research.
APA Style
Kiema, Agnes Mwongeli, Mutua, John, & Ngesu, Sarah Ndanu (2025). Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi. International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education, 11(4), 526-530.
MLA Style
Kiema, Agnes Mwongeli, et al. "Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi." International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education, vol. 11, no. 4, 2025, pp. 526-530.
IEEE Style
Agnes Mwongeli Kiema, John Mutua, and Sarah Ndanu Ngesu, "Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi," International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education, vol. 11, no. 4, pp. 526-530, 2025.
Vancouver Style
Kiema Agnes Mwongeli, Mutua John, Ngesu Sarah Ndanu. Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi. International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education. 2025;11(4):526-530.
Harvard Style
Kiema, Agnes Mwongeli, Mutua, John, & Ngesu, Sarah Ndanu (2025) 'Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi', International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education, 11(4), pp. 526-530.
Chicago Style
Kiema, Agnes Mwongeli, John Mutua, and Sarah Ndanu Ngesu. "Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi." International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education 11, no. 4 (2025): 526-530.
Turabian Style
Kiema, Agnes Mwongeli, John Mutua, and Sarah Ndanu Ngesu. "Changamoto Zinazomkabili Mhusika wa Kiume katika Riwaya ya Nguu za Jadi." International Journal of Advance Research and Innovative Ideas In Education 11, no. 4 (2025): 526-530.
Related Research
A STUDY ON THE IMPACT OF MEDIA LITERACY PROGRAM ON hthyCOLOUR DISCRIMINATION AMONG SCHOOL CHILDREN IN CHENNAI
Download PDF
THE PRINCIPLE OF POLITENESS IN BARISTA–CUSTOMER INTERACTION AND ITS IMPACT ON CUSTOMERS AT DKN CAFE JEMBER: A PRAGMATIC STUDY
PDF Unavailable
ATHARI ZA NYIMBO ZA KISWAHILI KWA WATOTO ZITUMIKAPO KAMA NYENZO YA UFUNDISHAJI KATIKA SHULE ZA CHEKECHEA
PDF Unavailable
MARGINALIZATION OF INDIGENOUS COMMUNITIES IN THE REPORTING OF THE NUSANTARA CAPITAL CITY PROJECT
PDF Unavailable